THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.

  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 2647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 2647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com






kutoka bungeni dodoma leo

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mh Samuel Sitta akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2013/14 Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria,Mh Mathias Chikawe (kushoto), Mbunge wa Sengerema,Mh William Ngeleja na Mbunge wa Peramio, Mh Jenister Mhagama wakifurahi jambo wakati wakitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Picha zote na Zawadi Msalla wa MAELEZO.


Segera ya sasa ionekanavyo

 Hiki ni kipita shoto kilichopo kwenye makutano ya barabara ya Tanga,Moshi na Dar es Salaam kilichopo Segera.hivi ndivyo kionekanavyo sasa baada ya kukamilika matengenezo yake.
Hiki ni kituo cha Mabasi mbali mbali yapitayo katika eneo hilo la Segera Mkoani Tanga.


Forbes winner Patrick Ngowi embraces Obama’s Energy plan for Africa


By Amani Nkurlu

Obama’s intention to unveil Africa’s Power Supply Plan while in Tanzania will be of great significance to the country and the continent at large say’s Forbes 30 under 30 – Africa’s Best Young Entrepreneurs Award winner Patrick Ngowi.

Commenting on confirmed reports that the US President will be visiting sub-saharan Africa next month, Engineer Patrick Ngowi (28), who is also the Managing Director & CEO for Helvetic Solar Contractors said that the energy plan which will be historically announced in Tanzania should be whole heartedly embraced, as it is very meaningful for development of people and the country’s economy.

“Energy plays a very crucial role when it comes to the progress of any country. Therefore, Tanzania and Africa at large are not excluded when looking for viable solutions towards our power woes. I am confident that in partnership with the United States, we can make a valuable contribution to this,” he said.

According to Eng. Ngowi, when he learnt that only 14 percent of Tanzania has access to electricity that’s when he decided to venture into the Solar business and is now making a difference to the Tanzanian community through renewable energy. “I did not only see a problem, but an opportunity, which I applied a feasible solution to. And here I am today, promoting young entrepreneurship through renewable energy,” he added.

Apart from listing on Forbes 2013: ‘30 under 30’ Africa Award, the young entrepreneur has also managed to bag the Fastest Growing and Number One spot in the Top 100 Mid Sized Company in Tanzania 2012 - 2013 survey conducted by The Citizen, Mwananchi Communications, NBC Bank and KPMG (East Africa).

Eng. Ngowi -- founder of Helvetic Solar Contractors supplies, installs and maintains all types of solar power and thermal systems in Tanzania and across East Africa. Last year his company made about $3 million in revenues.


Balozi Seif Idd akuna na Balozi wa Norway Nchini pia awashukuru Madaktari Mabingwa wa China kwa mchango wao mkubwa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bibi Inguun Klepsvik Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar na kuiomba Norway kuangalia uwezekano wa kusaidia utaalamu wa Uvuvi wa Bahari Kuu.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwashukuru Madaktari Mabingwa wa China kwa mchango wao mkubwa wa huduma bora za afya ndani ya kipindi chao cha miaka Miwili ambao wanatarajiwa kumaliza muda wao ifikapo mwezi ujao wa Juni mwaka huu.Hafla hiyo ya chakula cha usiku aliwaandalia hapo katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resor Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na Madaktari Mabingwa wa China wanaotoa huduma za afya katika Hospitali mbali mbali za Zanzibar mara baada ya kula nao chakula cha usiku alichowaandalia ikiwa ni ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kumaliza muda wao wa miaka miwili hapa Zanzibar. Picha na Hassan Issa wa - OMPR – ZNZ.


MSEMO WA LEO KWENYE BODA BODA


MKALI WA VODACOM

Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki.
Kazi ni kwako.


Nafasi za Kazi katika fani za ICT na IEC - wadau tuchangamke

IEC Communications Position 2 Job Description


MKALI WA VODACOM

Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki. Kazi ni kwako.


Viongozi watakiwa kutatua ‘bomu’ la ajira kwa vijana

Katibu Mtendaji wa APRM Tanzania, Rehema Twalib akihudhuria Mkutano wa miaka 10 ya APRM na 50 ya AU mjini Addis Ababa, Ethiopia.

Na Hassan Abbas, Addis Ababa

VIONGOZI wa Afrika wameshauriwa kuweka mikakati madhubuti ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana ambalo limetajwa kuwa sawa na bomu linalosubiri kuripuka. Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) nao umeshauriwa kufanyiakazi suala hilo.

Changamoto hiyo imetolewa mjini hapa wakati wa mikutano ya kutafakari miaka 10 ya APRM na 50 ya Umoja wa Afrika (AU). Akichangia mada kuhusu utawala bora Barani Afrika, Wakili Maitre Tully kutoka Taasisi ya Kusikiliza Malalamiko ya Wananchi ya Afrika Kusini, alisema sehemu kubwa ya wakazi wa Afrika ya leo ni vijana.

“Takwimu zinaonesha Afrika ina vijana wengi zaidi kuliko sehemu yoyote duniani. Hata hivyo zaidi ya asilimia 60 ya vijana hao hawana ajira,” alisema, hoja iliyoungwa mkono na washiriki wengi wakiwemo wataalamu mbalimbali kutoka APRM.

Kwa upande wake mmoja wa wajumbe wa Jopo la Watu Mashuhuri la APRM, Balozi Fatma Ndagiza alitaka vijana wakumbukwe katika mipango ya maendeleo ikiwemo kupewa taarifa juu ya masuala muhimu yanayohusu nchi zao.

Balozi Fatma ambaye alipata kuwa Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, alisema vijana wakipewa taarifa kupitia mitandao ya kijamii watakuwa wamejengewa uwezo wa kujiamini na kushiriki katika maendeleo ya nchi zao.

Akieleza sababu za vijana wengi wa Afrika kukosa ajira, mtaalamu wa masuala ya elimu Prof. Mbaya Kankwenda, alisema elimu inayotolewa Barani Afrika imeshindwa kuzalisha watu “waliona ujuzi na taaluma” bali “wahitimu.”

“Leo Afrika vijana wanasomeshwa kwa kutumia rejea ya vitabu vya maprofesa wa Ulaya ambavyo hata huko Ulaya hakuna anayevisoma,” alisema.

Alisisitiza kuwa vijana wa Afrika sasa wanapewa elimu itakayowapa ujuzi na taaluma mbalimbali zitakazowasaidia kuwa wabunifu katika elimwengu wa sasa unaohitaji watu wenye ujuzi.

Naye Dr. Jean Butera kutoka Rwanda aliwagusa washiriki wengi aliposema kuwa elimu itolewayo sasa kwa vijana haitekelezi ajenda ya kuwasaidia vijana wa Afrika bali “ajenda isiyojulikana.”

“Elimu isiyofuata misingi ya maadili na mahitaji ya Afrika itaishia tu kuwapatia vyeti vijana wetu na si taaluma muhimu. APRM lazima iingilie katika katika eneo hili kwa kufanya utafiti na kuwashauri viongozi wa Afrika juu ya ni mitaala gani inayoweza kuwasaidia vijana wa Afrika kuliko ya sasa?” alitoa hoja.

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakipigania kuwepo kwa mikakati nchini ya kusaidia kutatia tatizo linaloongezeka la vijana wengi kukosa ajira.


BTG WORKSHOP ON "LEADERSHIP SKILLS FOR GLOBAL MARKET

BTG Group LTD (www.btgforafrica.com) is holding a one-day workshop titled: Leadership Skills for the Global Marketplace. Attendees will receive training in: 

Business Negotiations 
Cultural Intelligence 
Leadership Values 
Cyber Security Management 

The quality of your business's employees is directly related to the success of your organization. The strategies and topics covered during this workshop will give your employees the edge in advancing your business. 

Date: Thursday 6, June 2013 
Time: 9AM - 4PM 
Location: Holiday Inn, Dar es Salaam, City Centre 

For registration and details, please visit: www.btgforafrica.com/workshop 

We hope to see you there! 


NSSF YAWAPOKEA WANACHAMA WAPYA WA HIARI 500 JIJINI TANGA

Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bi Mboni Mgaza akiwasalimia wakazi wa Kata ya Kwale, Wilayani Mkinga ambapo zaidi ya Wananchi Mia Tano (500) wamejiunga na NSSF kama wanachama wa hiari.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF Bw. Crescentius Magori akisoma hotuba kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bi Mboni Mgaza na Meneja Wa NSSF mkoa wa Tanga Bw. Frank Maduga. Kulia kwake Ni Bi Eunice Chiume, Meneja Kiongozi wa Uhusiano na Uhuduma kwa Wateja.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kichalikani akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bi Mboni Mgaza hotuba ya wakazi wa Kata ya Kwale.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bi Mboni Mgaza akiwakabidhi wanachama wapya wa hiari wa NSSF katika Kata ya Kwale.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Mradi wa Mpango Miji Mkakati (TSCP) waendea sehemu mbali mbali hapa nchini

Timu ya wataalamu kutoka OWM-TAMISEMI-katika Mradi wa Mpango Miji Mkakati (TSCP ) Pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Dunia pamoja na Ubalozi wa Denmak wakikagua Ujenzi wa Barabara zinazoendelea kujengwa kupitia mradi wa TSCP katika Mnispaa ya Mtwara Mikindani katika kubaini utekelezaji na maendeleo ya maeneo mbalimbali ya mradi.
Wafanyakazi wa TSCP na Mwakilishi wa Benk ya Dunia wa kwanza kulia wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa maendeleo ya Mradi wa TSCP katka Mnispaa ya Mtwara Mikindani katika kubaini utekelezaji na maendeleo ya maeneo mbalimbali ya mradi.
Ujenzi wa kituo cha basi cha kigoma ujiji ukiendelea.


CHANNEL TEN MICHEZO KIMATAIFA


TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAMPONGEZA JAJI ALOYSIUS MUJULIZI BAADA YA KUAPISHWA NA RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MWENYEKITI WA TUME


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mh. Jaji Aloysius Mujulizi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Waziri wa mambo ya Nje Benard Membe (wa kwanza kulia) akiwa na Mabalozi wateule pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi (wa pili kulia) wakati wakisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilali pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Mujulizi mara baada ya kuapishwa.
Watumishi wa Tume wakifurahi wakati wa kumpongeza Mwenyekiti wao Mh. Jaji Aloysius Mujulizi.
Bi. Halima Chawa akimzawadia shada la maua kwa niaba ya watumishi wa Tume Mwenyekiti wa Tume Mh. Jaji Aloysius Mujulizi alipowasili ofisi za Tume mara baada ya kuapishwa.


PARACHICHI NI MFALME NA MALKIA WA VYAKULA - FREDDY MACHA


HAKUNA JAMII ITAKAYOACHWA NYUMA KIMAENDELEO-TANZANIA

Balozi Ramadhan Mwinyi Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza wakati wa Mkutano wa Kudumu wa 12 wa Masuala ya Wazawa, katika mchango wake kuhusu mada ya utafiti uliofanywa kuhusu Ujasiri, Maarifa ya Jadi na Kujenga uwezo Jamii ya Wafugaji katika Afrika, Mwakilishi huyo ameeleza kwamba Jamhuri ya Muungano inajukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wake wote na kwamba katika hakuna jamii itakayoachwa nyuma. Akasisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa na wadau wengine kushirikiana na Serikali kufanikisha azma hiyo lakini pia kuunga mkono hatua na maamuzi inayoyachukua kwa manufaa ya wananchi wake na taifa kwa ujumla. Nyuma ya Balozi ni Bi. Ellen Maduhu Afisa wa Ubalozi .


Dar braces for Obama Fever

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation addresses the African Ambassadors and press (not in the photo), earlier today (May 23, 2013) in the Ministry in Dar es Salaam.  The Minister briefed reporters about the upcoming visit of the US President Barack Obama in July of this year and the AU's Golden Jubilee celebrations slated for 25 May 2013 at the Karimjee Grounds in Dar es Salaam. 
H.E. Thanduyise H. Chiliza (right), High Commissioner of South Africa in Tanzania and H.E. Judith Kapijimpanga, High Commissioner of Zambia in Tanzania were also in attendance during the press conference. 

Hon. Membe explains the upcoming visit of the US President Barack Obama and his purported agenda of "Power Africa", which aims at stimulating economic development in the Continent through the energy sector.  Also in the photo is Permanent Secretary Mr. John M. Haule (right) and Ambassador Prof. Ambrósio Lukoki of Angola in Tanzania.

H.E. Abdihakim Ali Yassin (left), Ambassador of Somali to Tanzania, H.E. Djelloul Tabet (center), Ambassador of Algeria to Tanzania and H.E. Hossam Moharam (right), Ambassador of Egypt to Tanzania. 

The African Ambassadors and members of the press listening to Hon. Minister Membe during the press conference.
H.E. Flossie Gomille-Chidyaonga, High Commissioner of Malawi in Tanzania and H.E. Mutindo Mutiso, High Commissioner of Kenya in Tanzania were also in attendance. 

 Permanent Secretary Mr. John M. Haule (right) addresses members of press while detailing the upcoming AU's Golden Jubilee celebrations scheduled for Saturday May 25, 2013 at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.  Listening on is H.E. Prof. Ambrósio Lukoki, Ambassador of Angola in Tanzania.

By TAGIE DAISY MWAKAWAGO

Tanzania is expected to host the biggest visit ever in early July of this year, when President Barack Obama of the United States will grace the honor.  Obama is the first African-American elected President in the United States.

Briefing the African Diplomatic Corps and press yesterday, Minister Bernard K. Membe (MP) of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation said that President Obama will be accompanied by his Family and close to 700 delegates consist of CEOs of various companies.

According to the US' White House statement issued earlier this week, the visit embarks the US’ “commitment to broadening and deepening cooperation with the people of sub-Saharan Africa.”  President Obama is scheduled to visit Senegal, South Africa prior to coming to Tanzania on July 1 to 2 of this year. 

Hon. Membe noted that the Obama’s visit will overlap the Country’s hosted Smart Partnership Dialogue on June 28 through 1st of July this year, in Dar es Salaam.

The theme of this year’s Dialogue is “Leveraging Technology for Africa’s Socio-economic Transformation: The Smart Partnership War”.

The Minister further said that important dignitaries from all over the world are expected to attend the Dialogue, including "the US former President George W. Bush and his wife Laura Bush", said Minister Membe, adding that the main agenda of President’s Obama visit is“Power Africa”.

The agenda of "Power Africa" is earmarked to spearhead energy conservation among the African nations, stomping energy sector as a vital component of the economic development sphere in the Continent.  While in the Country, President Obama will host a businessmen forum that will gather groups from various development sectors in both countries.

In another development, Hon. Membe briefed the reporters about the African Union’s Golden Jubilee celebrations, slated for this Saturday 25 May 2013 at Karimjee Grounds in Dar es Salaam. 

Detailing the program, the Permanent Secretary Mr John Haule said that the theme for the AU’s 50 years’ celebration is Pan-Africanism and the African Renaissance.  Other activities to mark the celebration will include the Panel’s discussion on the role of AU in the Struggle for African Liberations and Self-Determination.

The press conference was attended by H.E. Juma Alfani Mpango, Dean of the Diplomatic Corps and the Ambassador of Democratic Republic of Congo - DRC and other Ambassadors from Mozambique, Namibia, Algeria, Nigeria, Malawi and Zambia.  Also in attendance were Ambassadors from Sudan, Somalia, Egypt, Zimbabwe and other countries in Africa.


miondoko ya kumeremeta kwenye mnuso


Mkataa kwao Mtumwa

Ngoma ya kiasilia ya 'Goma' toka Tanga


NGOMA AZIPENDAZO ANKAL

Alpha Blondy wa Ivory Coast alitingisha na ngoma yake ya 'Jerusalem'


NAPE AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 150 YA CHAMA CHA SPD JININI BERLIN, UJERUMANI

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi ya CCM, Ndugu Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD jijini Berlin, Ujerumani, alipowasili leo  kuhudhuria sherehe za miaka 150 ya kuzaliwa kwa chama hicho.




WARSHA YA WAZI KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA KINA WA MAENEO YA KIPAUMBELE YA KITAIFA

Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (Ikulu) inawatangazia na kuwaalika wadau na wananchi wote kuhudhuria Warsha ya Wazi (Open Day) kupata maelezo, kujadili na kutoa maoni juu ya miradi na program zitakazotekelezwa na Serikali kwa kipindi cha miaka mitatu (2013/14 hadi 2015/16) katika maeneo ya kipaumbele yaliyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16). 
Miradi hiyo inatokana na uchambuzi wa kina uliofanywa na wataalamu wa kitanzania kwa kutumia mfumo mpya wa kimaabara (labs).
Huu ni mfumo ambao Serikali imeuanzisha ili kuhakikisha ushirikishwaji mpana wa wadau na wananchi kwa ujumla katika utekelezeaji wa miradi ya kipaumbele ya Kitaifa.
Warsha hiyo ya wazi itafanyika kesho Ijumaa tarehe 24/05/2013 katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar Es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Wote mnakaribishwa!
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano
Ikulu
DAR ES SALAAM


TASWIRA TOKA BUNGENI DODOMA LEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Dkt.  Emmanuel  Nchimbi  akitoa kauli ya Serikali Bungeni kuhusu vurugu zilizotokea Mkoani Mtwara. 


Balozi Kamala asaini Hati za Makubaliano ya Kutekeleza Sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi

Balozi wa Tanzania BANELUX na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka sahihi Hati ya Makubaliano na taasisi ya Uholanzi ya SANEC kwa ajili ya SANEC kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania BENELUX kutekeleza Sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Kushoto ni Bwana Mark Agterdenbosch Meneja Mkuu wa SANEC. Uwekaji sahihi umefanyika leo The Hague Uholanzi.
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akipeana mkono na Bwana Mark Agterdenborsh Meneje Mkuu wa SANEC baada ya uwekaji sahihi Hati ya Makubaliano ya kushirikiana kutekeleza sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Shughuli ya uwekaji sahihi imefanyika leo, The Hague, Uholanzi.


Masiga Alex - Mapenzi Moto


MSAADA TUTANI


Habari Anko Michuzi

Pole na kazi za ujenZi wa taifa na mihangaiko ya wanalibeneke:

MIMI NI MTANZANIA NAISHI HAPA UJERUMANI KWA MUDA SASA NIMEKUWA NIKITAFUTA WATANZANIA WENZANGU WANAOISHI HAPA UJERUMANI SIJAFANIKIWA KUWAPATA HATA MMOJA NAOMBA NIFIKISHIE UJUMBE WANGU INI TUWEZE KUFAHAMIANA NA KUUNGANA PAMOJA KUWASILIANA PIA 

NIPO MJI WA DORTMUND NAHITAJI KUJUANA NA WATANZANIA WENZANGU WALIOPO HAPA UJERUMANI MJI WOWOTE ULE DORTMUND, BERLIN, ESSEN; COLOGNE ,DUSSELDORF, BREMEN, BOCHUM, MUNICH, STUTTGART NA MINGINEYO

E MAIL YANGU:  mari4tz@gmail.com
                     mari4tz@gmail.com


Plot for sale



MKUTANO UNAOZUNGUMZIA MASUALA YA UHURU NA USALAMA WA MTANDAO WAANZA RASMI LEO MJINI STOCKHOLM

Mkutano wa Internet Forum unaendelea mjini Stockholm kwa siku ya pili, ukijadili mambo muhimu kama upatikanaji wa mtandao kwa watu wote na kwa gharama nafuu (Free access for all) na jinsi ya kuchochea maendeleo ya ubunifu na kutengeneza programu na vifaa vya TEHAMA (Accerelating innovations in ICT for transformative growth)ambayo wananchi wengi watakuwa wana uwezo wa kuvipata na kuvimiliki.
Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa sweden Bi. Gunilla Carlsson akifafanua jinsi gani Mtandao unaweza kutumika katika kuwaletea maemaendeleo wananchi.
Panelist ikijadili “Accerelating innovations in ICT for transformative growth”.
Waziri wa Technologia ya Mawasiliano na Habari wa Sweden Bi. Anna-Karin Hatt, Professor Paula Uimonen, Director of SPIDER wakizungumza na Bw. Wilfred warioba, kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Dr. Jabiri Bakari CEO wa Tanzania e-Governance Tanzania.


WATU WAWILI WANUSURIKA KUUAWA MKOANI LINDI KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI

Jeshi la Polisi Mkoani Lindi linawashikilia watu wawili kwa Tuhuma za Unyanganyi kwa kutumia silaha na kujeruhi Mfanyabiasha wa Duka katika kijiji Cha Kitomanga Wilayani Lindi huku wakiwa katika hospital ya Mkoa baada ya kunusurika kufa kufuatia Wananchi wenye hasira kutaka kuwaua kwa kuwachoma Moto.

Akiongea na waandishi wa habari Ofisi kwake hii leo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,George Mwakajinga alieleza kuwa Watuhumiwa hao waliojitambulisha kwa Rajabu Juma Mbete(26) mkazi wa manispaa ya Lindi na Hamis Athuman(32) mkazi wa Mbembetini Kibiti Mkoani Pwani licha ya kupora simu 6 na fedha taslim laki 6 pia walimjeruhi kwa Mapanga Bw Hamis Hassan Muuza duka hilo.

Mwakajinga alibainisha kuwa Majambazi hayo yanayosadikiwa kuwa 4 walifanikiwa kukimbia baada ya Bunduki waliyokuwa nayo kugoma kufyetua risasi hali iliyofanya wanavijiji vya Kitomanga,Mkwajuni na Mbwemkuru kuanza msako na kufanikiwa kuwakamata na kuwajeruhi kwa kuwapiga na kuwachoma moto kabla hawajapata msaada wa Jeshi la Polisi.

Akielezea kuhusu kukutwa na risasi tatu za Shortgun,Bangi pamoja na Bunduki aina ya Shortgun ya kienyeji, Kamanda mwakajinga alifafanua Bunduki hiyo Ambayo hutumia risasi za Short gun pia walikutwa na risasi 3.

Kufuatia kukamatwa kwa majambazi hao baadhi ya Wafanyabiashara Manispaa ya Lindi akiwemo Seif Nasor na Ahmaid Nachuli wameeleza kuwa tatizo la kuongezeka kwa majambazi kunachangiwa na Uozo wa sheria hali inayosababisha jamii kujichulia sheria mkononi.

Watuhumiwa hao ambao wamelazwa huku wakiwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi watafikishwa mhakamani mara baada ya Afya yao Kuimarika kutokana kunusurika kuchomwa Moto na Wananchi ambapo tayari wameweza kutambuliwa na baadhi ya wanakijiji
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,George Mwakajinga akionyesha silaha iliyokutwa kwa majambazi hayo.
Hawa ndio watu wanaoshikiliwa na Polisi,baada ya kujeruhiwa na wananchi wenye hasira kali.


RAIS KIKWETE AKUTANA NA TIMU YA TAIFA IKULU JIJINI DAR LEO

Rais Jakaya Kikwete akiongea na wachezaji wa timu ya mpira ya Taifa, Taifa Stars leo Ikulu jijini Dar es salaam alipokutana nao kuwapa hamasa waweze kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Moroco utakaochezwa Juni 7, na michezo mingine ikiwa ni hatua ya kuiwezesha timu hiyo kukata tiketi ya kushiriki mashindano ya kombe la dunia mwaka 2014.
Rais Jakaya Kikwete akiwaaga wachezaji wa Timu ya Taifa Stars mara baada ya kukutana nao leo Ikulu Jijini Dar es salaam kuwahamasisha washinde mchezo dhidi ya timu ya Taifa ya Moroco utakaofanyika June 7 ikiwa ni sehemu ya Taifa Stars kutafuta ticketi ya kucheza mashindano ya Kombe la Dunia.
Meneja wa Timu ya Taifa Stars Bw. Mukebesi akiteta jambo na Kepteni wa Timu ya Taifa Stars Juma Kaseja Ikulu jijini Dar es salaam walipokutana na Rais Jakaya Kikwete.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika Picha ya Pamoja na wachezaji wa Timu ya Taifa , Taifa Stars, viongozi wa Wizara ya Habari, Vijana ,Utamaduni na Michezo na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika Picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Taifa , Taifa Stars Ikulu jijini Dar es salaam. Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Na. Veronica Kazimoto –MAELEZO.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekutana na timu ya Taifa (Taifa stars) kwa lengo la kuitia moyo katika mechi ijayo kati yake na timu ya Moroco ikiwa ni harakati za Tanzania kutafuta tiketi ya kucheza fainali za kombe la Dunia kwa mara ya kwanza mwaka 2014.

Rais Kikwete ameiambia timu hiyo kuwa ina uwezo mkubwa wa kusonga mbele kutokana na uwezo mkubwa waliouonesha katika mchezo wao dhidi ya Gambia ambapo walifanikiwa kupata ushindi wa bao 2-0.

“Maadamu mara ya kwanza mliwashinda Gambia, hakikisheni pia mnapata ushindi dhidi ya Moroco, mkishinda tunafurahi sana na mkishindwa tunanyong’onyea sana,” amesema Rais Kikwete.

Aidha amempongeza kocha wa timu hiyo Kim Poulsen pamoja na Kamati ya Taifa ya ushindi ya Taifa stars kwa kuisaidia timu hiyo kiasi cha shilingi milioni 30 ikiwa ni mkakati wa kuiongezea nguvu kwa hatua iliyofikia na kuwataka wachezaji kujituma ili kuwafurahisha watanzania ambao hivi sasa wanaipenda timu yao ya Taifa.

Nae Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Fenera Mukangara amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa michezo nchini ili kuondoa changamoto zinazoikabili timu hiyo.

Kwa upande wake Kocha Poulsen, amemshukuru Rais Kikwete kwa kuwakaribisha na kuwatia moyo ambapo ameahidi kuifundisha vizuri timu hiyo ili kuhakikisha kuwa wanapata ushindi.

Akizungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake kaptaini wa timu hiyo Juma Kaseja amemshukuru Rais Kikwete na kuahidi kujituma kwenye mazoezi na hatimaye kuibuka washindi kwenye mechi zijazo.

Taifa stars ambayo inakamata nafasi ya pili katika kundi C inatarajia kucheza ugenini na Morocco mnamo Juni 7 mwaka huu.