Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Hii ni hatari kwa afya za walaji na hii inaonyesha kuwa nembo ya TBS inatumika tu pale cheti cha ubora kinapopatikana baada ya hapo mambo yanakuwa ndivyo sivyo hakuna umakini katika kila jambo nawaomba TBS wafuatilie jambo hilo

    ReplyDelete
  2. ni mambo ya sayansi hayo. Imekuwa manufaktured in the future! I love Tanzania

    ReplyDelete
  3. Hivi ndivyo Watanzania tunavyo uwawa na wamiliki wa viwanda na Mabepari!

    Kosa la kwanza la Jinai ni Tarehe ya kutengenezwa yaani MANUFACTURING DATE 13TH MAY, 2014 bado haijafika ndio kwanza leo tarahe 23RD APRIL, 2014!

    Jamaa Mabosi wa Kiwanda hicho watafutwe huko Arusha wakamatwe.

    ReplyDelete
  4. Mhhhh!,

    hii Bijampora moja kwa moja,
    hii Mizambwa Enterprises direct,

    Utakuta Kiwanda hicho kipo Keko Magurumbasi Jijini Darisalama na sio Arusha!

    Anuani ya Arusha na hiyo namba ya simu vimewekwa kama babaisha bwege tu.

    ReplyDelete
  5. Msione watu wana miliki Mabilioni ya Shilingi ni kutokana na Uzalishaji wa bidhaa mchafu kama huu ambao Jamhuri ya Muungano ya Tanzania inaambulia ZERO TAX huku afya za wananchi wa Tanzania zikiwa mnadani tena BILA BIMA YA AFYA!

    ReplyDelete
  6. Huo sio uzalishaji wa Arusha ni zuf#ga tu, mpango mzima ni Uzalishaji wa kutokea hapo kuliko vunjika shoka ukabaki mpini, Manzese!

    ReplyDelete
  7. POST DATED! Hahahahaha!

    ReplyDelete
  8. Kizazaa!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  9. The mdudu,waziri wa viwanda yupo wapi? Tbs wapo wapo tu mm nilishasemaga Tatizo la TANZANIA watu wote mpaka viongozi wetu tunafanya kazi pasipo na ujuzi wala maarifa ndio maana kila idara ZILO au MA 00000 why nasema hivi? Tuje kwenye idala zote muhimu za nchi, 1 Tanesco imeanzishwa toka enzi hizo sasa tujiulize wenyewe watanzania wangapi wenye umeme majumbani? 2 wizara ya elimu toka enzi na enzi wanao fauru ni wachache kulinganisha na wanao feri,3 Muhimbili hospitali ya taifa kila kukicha madactari feki wanakamatwa,4 viwanda vyote uzalishaji ndio hivyo kama mnavyoona hivyo vioja vya mwaka na wanaofanya hivyo ni wadosi au wahindi na msiniulize why fanyeni uchunguzi kisha mtakubaliana na mm, 5 shirika la ndege Tanzania ni nchi ya kwanza duniani ambayo haina ndege inayoweza kufanya safari za kwenda nchi za maana duniani kama vile USA,UK,CHINA,JAPANI,SINGAPORL,GERMAN,sasa tatizo kama nilivyosema huwezi ukaongoza kitu ambacho HUNA UJUZI NACHO NDIO MAANA KILA IDARA INAONGOZWA KIU JANJA UJANJA TU PASIPO NA UBUNIFU WOWOTE,ndugu zanguni ngoja niishie hapa nisije onekana muongo bule wakati ndio halihalisi ilivyo hapa kwetu Tanzania inaniuma sn moyoni.

    ReplyDelete
  10. For future use

    ReplyDelete
  11. Hata wewe mdau unahitaji shule...kufauru na kuferi na bule ndio kiswahili gani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...