Miss Tanzania USA aliyemaliza muda wake Joy Kalemera akimvisha taji la Umiss Tanzania USA mshindi wa Miss Tanzania USA 2014 Aysha Cheyo aliyekuwa mwingi wa furaha. Pageant ya Mwaka huu ilifanyika huko Maryland, USA.
Miss Tanzania USA Aysha Cheyo bado akifurahia ushindi huo kwenye Jukwaa.
Miss Tanzania USA akiwa na mshindi wa pili Kupewa Mushala (kushoto) na Mshindi wa tatu Jessica L. Kalemera (kulia).
Mama Winny Casey, CEO na Mwanzilishi wa Miss Tanzania USA akiwa Miss Tanzania USA mpya na yule wa zamani.
Miss Tanzania USA finalists wakiwa jukwaani.
Angalau naona fabric za vitenge na kanga.
ReplyDelete