Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Gerald Guninita akipokea msaada wa mabati 200
kutoka kwa mwakilishi wa PSPF kutoka makao makuu Amelia Rwemamu kwa
ajili ya ujenzi wa maabara za sayansi katika shule za sekondari wilayani
humo,
Makabidhiano yalifanyika juzi katika ofisi za wilaya ya Kilolo
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evalista Kalalu akikabidhiwa mabati 100 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF Mkoa wa Iringa, Baraka Jumanne kwa ajili ya chuo cha Ualimu Mufindi(MUTCO) kwa ajili ya ujenzi wa Hostel katika chuo hicho zilizotolewa na PSPF katika makabidhiano yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho.
(picha na Denis Mlowe).
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evalista Kalalu akikabidhiwa mabati 100 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF Mkoa wa Iringa, Baraka Jumanne kwa ajili ya chuo cha Ualimu Mufindi(MUTCO) kwa ajili ya ujenzi wa Hostel katika chuo hicho zilizotolewa na PSPF katika makabidhiano yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho.
(picha na Denis Mlowe).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...