Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe,Saoud Al Ruqaishi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Hundi ya Tanzania Shilingi Billioni 12.3 kutoka Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe,Saoud Al Ruqaishi ikiwa ni msaada kwa ajili ya ununuzi wa Vifaa kwa kiwanda cha upikaji Chapa (kushoto Balozi Mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi hafla ya makabidhiani ilifanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe,Saoud Al Ruqaishi baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...