Leo
[06 Juni, 2015] ni mwaka mmoja tangu ututoke ghafla katika dunia hii. Mama yetu
mpenzi Jasmin Salum Saadallah.
Sisi
tulikupenda lakini Mola alikupenda zaidi. Mapenzi ya Allah Yatimizwe.Unakumbukwa
siku zote na watoto, wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki zako.
Tunamuomba
Mwenyezi Mungu
ailaze roho yako mahali pema peponi.
AMIN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...