Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisalimia na Bw. Adam Mayingu (wa tatu kutoka kushoto) na Maafisa wengine wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea banda la Mfuko huo katika Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Shaaban Lila Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, akimsikiliza kwa makini Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi.Rahma Ngassa alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Mheshimiwa Ombeni Sefue, katibu Mkuu Kiongozi akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Magira Werema akitoa maelezo wa wateja waliotembelea banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF akitoa maelezo kwa wateja wateja waliotembelea banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 39 ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...