Mkuu
wa Maabara
ya Mikrobilojia wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA)Dk. Adelard
Mtenga akitoa maelekezo juu
ya kifaa maalumu cha uchunguzi wa Vifaa
tiba ikiwemo nyuzi za ushonaji pamoja na dawa za sindano ambapo ni
kifaa cha kwanza Katika Nchi za Kusini ,Mashariki na Kati Barani
Afrika. leo Jiji Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti
Sillo akikata utepe kufungua mtambo huo leo Jiji Dar es Salaam. Katiti
ni mwakilishi mkazi wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk. Mohammed Ally
Mohammed kuli ni Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani,Ms. Kelly
Hamblin.
Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Hiiti
akifafanua jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...