Kwa mara nyingine tena EFM Radio 93.7 inakuletea tamasha la siku ya wapendanao MCHIZI WANGU CONCERT, litakalofanyika jumapili ya Tarehe 14/2/2016 katika viwanja vya posta-kijitonyama jijini Dar es Salaam. 
Tamasha hilo linalolenga kudumisha upendo sio tu kwa wapenzi ila kwa ndugu, jamaa na marafiki. 
Kutakuwa na burudani kibao kutoka kwa wasanii kibao wa mchiriku na singeli, pia uzinduzi wa klabu za mashabiki kutoka sehemu mbalimbali za jijini Dar es salaam na Pwani kwa nia ya kuwaweka karibu wasikilizaji wetu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...