Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wafanyakazi wa VETA Makao Makuu (hawapo pichani) alipofanya ziara katika mamlaka hiyo Changombe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA Geofrey Sabuni na kulia ni Wakurugenzi wa Wizara hiyo walioongozana na Naibu waziri.
Wafanyakazi wa VETA Makao Makuu wakimsikiliza Naibu Waziri Mhandisi Stella Manyanya wakati wa ziara hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA Geofrey Sabuni akimkaribisha Naibu Waziri Mhandisi Stella Manyanya kuzungumza na wafanyakazi wa VETA Makao Makuu wakati Naibu waziri alipofanya ziara katika Mamlaka hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...