Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akifungua Mafunzo Elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini  Dar es Salaam leo tarehe 12 Febuari, 2016. Kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mhe Hawa Ghasia akizungumza wakati wa ufungunzi wa mafunzo elekezi kwa waheshimiwa Wabunge. Katikati ni Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai na kulia ni Naibu Spika Mhe Dkt Tulia Ackson.
 Baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wakifuatilia ufunguzi wa Mafunzo elekezi
 Baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wakifuatilia ufunguzi wa Mafunzo elekezi

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiteta jambo na Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson mara baada ya kufungua Mafunzo Elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...