RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagana na Wazee na Viongozi wa Serikali, wakati akiondoka Zanzibar kuelekea Nchini Comoro kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mteuli wa Muungano wa Visiwa vha Comoro akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangana na Viongozi wa Serikali, waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kumuaga akielekea Nchini Conoro kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mteule wac Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe.Azali Assouman Boinakher
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Ayuob Mohammed Mahmoud uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mteule wa Muungano wa Visiwa vya Comoro Mhe. Azali Assouman Boinakher. akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Picha na Ikulu, Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...