Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi   Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya  harakati ya Serikali ya awamu ya Tano ya  Rais  Dk. John Pombe Magufuli,  katika jitihada alizofanya za kujenga nchi na kuleta maendeleo kwa  watanzania bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, rangi na jinsia watanzania hivyo  tumuombe Mungu ampe afya nguvu ujasiri hekima na busara katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wndishi wa habari wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...