Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya harakati ya Serikali ya awamu ya Tano ya Rais Dk. John Pombe Magufuli, katika jitihada alizofanya za kujenga nchi na kuleta maendeleo kwa watanzania bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, rangi na jinsia watanzania hivyo tumuombe Mungu ampe afya nguvu ujasiri hekima na busara katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wndishi wa habari wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)
Wndishi wa habari wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...