Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi Mathias
Chikawe ambaye ameteuliwa kuiwakilisha Tanzania nchini Japan Balozi Chikawe
alipofika kumuaga Waziri Mkuu ofisini
kwake mjini Dodoma leo akiwa tayari kwenda kuanza kazi yake.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa
Denmark nchini Tanzania Bwana Einar Jensen ambaye alifika ofisini kwa waziri
mkuu mjini Dodoma kwa mazungumzo ya kikazi.
Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...