Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akizungumza katika uzinduzi wa Ripoti Matoke ya Utafiti wa Tathimini ya hali ya uongezaji wa virutubisho kwenye vyakula hapa nchini kwa mwaka 2015.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akisaidiana na Mkurugenzi Mtendaji wa AAPH, Emilian Busara katikati wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Ripoti Matoke ya Utafiti wa Tathimini ya hali ya uongezaji wa virutubisho kwenye vyakula hapa nchini kwa mwaka 2015 jijini Dar es Salaam leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...