JENGO la ambalo liko katika hatua za mwisho za ujenzi lililopo katika makutano ya Mtaa wa Samora na Mkwepu jijini Dar limenusurika kuteketea kwa moto jioni ya leo baada ya moja ya Ghorofa katika jengo hilo kushika moto na kuteketeza viyoyozi vilivyokuwepo katika ghorofa hiyo
Mashuhuda wameeleza kuwa moto umeanza majira ya saa 11 kwa kuanza kufuka katika ghorofa ya tatu. Chanzo cha moto hakifahamika mara moja.
Moshi ukitanda angani wakati moto ukiendelea kuwaka katika Jengo lililopo mtaa wa Mkwepu na Samora jioni ya leo, jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...