Ni miaka 25 leo toka baba yetu mpenzi Joseph Cosmas Mango, ametangulia kwa
baba yetu Muumba yote. Familia yote ya Mango inaendelea kukumbuka busara na
hekima zako daima .Tutakua na misa ya kumbukumbu leo saa 11 jioni katika
kanisa la Mashahidi wa Uganda Magomeni.Wote mnakaribishwa.Mwenyezi Mungu
aendelee kuilaza Roho yako mahali pema peponi,Amina.
Home
Unlabelled
KUMBUKUMBU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Upumzike kwa amani baba mdogo. Ingawa sitakuwepo katika misa leo Magomeni, sala zangu zitaunganika na ndugu zetu wote. Always warm remembered.And thank you Michuzi for posting this. Mussa Urusi
ReplyDelete