Hit Maker wa Rarua, Malaika amefunguka Mambo kibao kwenye Sehemu
ya kwanza ya Exclusive Interview na DJHAZUU kupitia VMG Africa TV. Kwenye
Interview hii Malaika anazungumzia Mahusiano yake ya awali na Chege Chigunda
Kabla na baada ya Kufanya naye wimbo wa USWAZI TAKE AWAY.Hata hivyo pia
amezungumzia Sababu ya yeye Kufeli Masomo yake na
kushindwa kuendelea na shule. TAZAMA EXCLUSIVE INTERVIEW YAKE HAPA
CHINI
Home
Unlabelled
MALAIKA ATOA SIRI ZAKE NA CHEGE CHIGUNDA NA MAMBO MENGINE KIBAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...