Hit Maker wa Rarua, Malaika amefunguka Mambo kibao kwenye Sehemu ya kwanza ya Exclusive Interview na DJHAZUU kupitia VMG Africa TV. Kwenye Interview hii Malaika anazungumzia Mahusiano yake ya awali na Chege Chigunda Kabla na baada ya Kufanya naye wimbo wa USWAZI TAKE AWAY.Hata hivyo pia amezungumzia Sababu ya yeye Kufeli Masomo yake na  kushindwa kuendelea na shule. TAZAMA EXCLUSIVE INTERVIEW YAKE HAPA CHINI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...