Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima
ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akitoa elimu kuhusu
umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko huo kwa wakazi wa Jiji la Tanga
kwenye banda lao lililopo katika eneo la Mwahako Jijini Tanga
kunakofanyika maonyesho ya tano ya biashara ya kimataifa
Waziri wa Viwanda,Biashara na
Uwekezaji,Charles Mwijage akiptia kwenye banda la Hifadhi za Taifa
Tanzania (Tanapa) wakati alipofungua maonyesho ya kimataifa ya biashara
ya tano yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwahako Jijini Tanga
Waziri wa Viwanda,Biashara na
Uwekezaji,Charles Mwijage akisalimiana na mmoja wa watumishi Tanapa
wakati wakati alipotembelea banda lao kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa
Tanga,Martine Shigella
Waziri wa Viwanda,Biashara na
Uwekezaji,Charles Mwijage akiendelea na shughuli ya kukagua mabanda ya
Maonyesho.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...