Mpiga picha wa kujitengemea ambaye jina lake halikupatikana haraka akimuweka sawa mteja wake wakati akimchukua picha kwa ajili ya matumizi mbalimbali kama alivyokutwa na Kamera ya Globu jamii katika moja ya viunga vya Mji wa Dodoma mchana huu.
  Mteja keshakaa sawa na picha inapigwa.
muda mfupi baadae mteja mwingine kaingia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...