Mwandishi wa kituo wa Cha Televisheni ya ITV, Spencer Lameck Ntongwe akisaini cheti ya ndoa na mke wake Suzan Swila  katika Kanisa la TAG Kinondoni Revival Church  jijini Dar es Salaam.
 Mwandishi wa kituo wa Cha Televisheni ya ITV, Spencer Lameck Ntongwe akimvisha pete mke wake Suzan Spencer Ntongwe katika Kanisa la TAG Kinondoni Revival Church  jijini Dar es Salaam.
 Mwandishi wa kituo wa Cha Televisheni ya ITV, Spencer Lameck Ntongwe akivishwa pete ya ndoa na mke wake Suzan Swila katika kanisa la TAG Kinondoni jijini Dar es Salaam.
 Mwandishi wa kituo wa Cha Televisheni ya ITV, Spencer Lameck Ntongwe akimlisha keki mke wake Suzan Swila mara baada ya kufunga pingu za maisha katika kanisa la TAG Kinondoni jijini Dar es Salaam na tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Blue Pear Ubungo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...