Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili – MUHAS Kampasi ya Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Huduma za Hospitali Prof. Said Abood. Uzinduzi huo utafanyika tarehe 25 Novemba 2017 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili – MUHAS Kampasi ya Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Huduma za Hospitali Prof. Said Abood na Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jonas Kamaleki. Uzinduzi huo utafanyika tarehe 25 Novemba 2017 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) anayeshughulikia Huduma za Hospitali Prof. Said Abood akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili – MUHAS Kampasi ya Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya dharura Dk. Hendry Sawe. Uzinduzi huo utafanyika tarehe 25 Novemba 2017 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya dharura wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Dk. Hendry Sawe akielezea jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili – MUHAS Kampasi ya Mloganzila leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jonas Kamaleki, Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) anayeshughulikia Huduma za Hospitali Prof. Said Abood. Uzinduzi huo utafanyika tarehe 25 Novemba 2017 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.Picha na: Frank Shija – MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...