Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe.Jenista Mhagama, akizungumza wakati wa kukabidhi Pikipiki kwa Tasisi ianyojiusisha na kutoa eleimu juu ya Mapambano ya Dawa za kulevya ya IOGTkatika ofisi za Kamishna wa Mamlaka ya kupambana na Dawa .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe.Jenista Mhagama, akikabidhi Pikipiki kwa kiongozi wa IOGT Taifa Wellngton Kyumba katika ofisi za Mamala ya kupambana na Dawa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe.Jenista Mhagama, akisalimiana na Vijana wa IOGT Waliofika katika hafla ya kukabidhiw apikipiki katika ofisi za Mamlaka ya Dawa jijini Dar es Salaam
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kupambana na Dawa nchini,Rogers Siang'a akisalimiana na kiongozi wa IOGT Taifa Wellngton Kyumba katika ofisi za Mamala ya kupambana na Dawa jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi waliopata mafunzo ya Dawa za Kulevya wakieleza madhara ya dawa hizo mbele ya Waziri Jenista Mhagama
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...