Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati)akizungumza na Mbunge wa Shinyanga mjini Mhe. Stephen Masele ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika pamoja na Mbunge wa Jimbo la Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita ambaye pia amechaguliwa kuwa Rais wa Caucus ya Vijana ya Bunge la Afrika , ofisini kwa Makamu wa Rais , Kilimani Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mbunge wa Shinyanga Mjini Mhe. Stephen Masele ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Mheshimiwa Masele alimshukuru Makamu wa Rais kwa jitihda zake zilizofanikisha ushindi wake. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati)akiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Shinyanga mjini Mhe. Stephen Masele ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika pamoja na Mbunge wa Jimbo la Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita ambaye pia amechaguliwa kuwa Rais wa Caucus ya Vijana ya Bunge la Afrika wengine pichani ni Mbunge wa Mbozi Magharibi Mhe. David Silinde (kulia) na Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Zanzibar Bi. Asha Juma (kushoto) , ofisini kwa Makamu wa Rais , Kilimani Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pongezi Mbunge wa Shinyanga mjini Mhe. Stephen Masele ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, leo Kilimani jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati)akimpa mkono wa pongezi Mbunge wa Jimbo la Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita ambaye pia amechaguliwa kuwa Rais wa Caucus ya Vijana ya Bunge la Afrika , ofisini kwa Makamu wa Rais , Kilimani Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...