Home
Unlabelled
BREAKING NYUUUZZZZZ: SERIKALI YASITISHA AJIRA MPYA KATIKA IDARA YA UHAMIAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Idara karibu zote za serikali na mashirika ya umma wanaajiri kwa mtindo huo huo, kwa nini hatua hii ni kwa uhamiaji tu?
ReplyDeleteChanga la macho hilo "MJOMBA". Wote hao wataitwa kimya kimya mchezo unaisha. Hii inchi bwana.....??rushwa kila sehemu Mungu atusamehe kwa dhambi hii kwa kweli
ReplyDeleteHata orodha yenyewe kwa jumla hao waliopitishwa, basi kama umebahatika kuiona, inajidhihirisha wazi ni wao kwa wao tu wamechaguwana wana ndugu, jamaa na marafiki zao. Hakuna haki yeyote iliyotendeka hapo, nakuunga mkono mdau wa pili hapo juu, wote hao wataitwa kimya kimya mchezo unaisha wala sio uongo na hakuna chochote kitakachofanyika, dhuluma tupu.
ReplyDeleteTupeane updates kuhusu nini kitajiri maana hizi post ni very potential kwa maslahi ya nchi. jinsi walivyochaguliwa ni kwa maslahi ya baadhi ya viongozi na jinsi wanavyokingiana Natoka uingizaji wa Vitu haram na usafirishaji wa Mali asili zetu kibaradhuli. I hate em for not being fear na kutokuwa na uzalendo.
ReplyDelete