Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Solution Blocks, Msomisi Mbenna akiwakaribisha wageni katika semina ya kuhamasisha makampuni mbalimbli  kukabiriana na ukosefu wa ajira hapa nchini ili kumwezesha kijana mjasiliamali kujikwamua kiuchumi katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam jana.
 Baadhi ya washiriki wa Mkutano ulioandaliwa na kampuni ya Solution Blocks wakimsikilizaMeneja wa huduma za jamii-Airtel Hawa Bayuni akielezea jinsi AIRTEL FURSA ilivyokwamua changamoto mbalimbali kwa vijana wajasiliamali hapa nchini waliokua na malengo ya kujikwamua kiuchumi kwa kuwapa vifaa pamoja na kuwasaidia kimasoko.
 Mwakilishi wa kampuni ya Popular lines, Neserian Alexander akichangia maada mara baada ya mtoa maada kumaliza kuelezea jinsi Airtel Fursa inavyoendelea kukwamua vijana kiuchumi hapa nchini katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam.




Washiriki wa mkutano ulioandaliwa na kampuni ya Solution Blocks  wakiwasikiliza watoa maada kutoka Airtel  na kampuni ya Solution Blocks  katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...