Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC, ndugu Elishilia Kaaya (kushoto) akimkabidhi ndugu HusseinBaitira hundi yenye thamani ya shilingi 3,800,000/- ikiwa ni motisha kwa mfanyakazi huyo baada ya kuonesha ubunifu katika kutengeneza viyoyozi kumi (10) vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) viyoyozi ambavyo vilikuwa vimeharibika. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
|
Home
Unlabelled
MFANYAKAZI WA KITUO CHA MIKUTANO CHA JNICC AJISHINDIA KITITA CHA MILIONI 3
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...