Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye akizungumza na Makamu wa Rais  wa Kampuni ya Landes SportBund Niedersachsen e.v ya nchini  Ujerumani  Bw.Reinhard Rawe   kuhusu jinsi wanavyoweza kushirikiana katika Sekta ya Maendeleo ya Michezo hapa nchini walipokutana jana Jijini Dar es Salaam.
 Makamu   wa Rais  wa Kampuni ya Landes SportBund Niedersachsen e.v ya nchini  Ujerumani  Bw.Reinhard Rawe  akimueleza Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (kushoto) namna ambavyo kampuni yake inaweza kushririkiana na Wizara katika Sekta ya Maendeleo ya Michezo hapa nchini walipokutana jana Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (katikati) akiangalia zawadi aliyopewa na Ujumbe wa  Kampuni ya Landes SportBund Niedersachsen e.v ya nchini  Ujerumani baada ya kumaliza mazungumzo kuhusu maendeleo ya Sekta ya Michezo  hapa nchini yaliyofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
 Mjumbe wa Kampuni ya Landes SportBund Niedersachsen e.v ya nchini  Ujerumani Bibi Angie (wa kwanza kulia) akimueleza jambo Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye wakati wa mazungumzo baina yao kuhusu maendeleo ya Sekta ya Michezo hapa nchini yaliyofanyika jana Jijjini Dar es Salam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye akiwa katika picha ya pamoja  na ujumbe kutoka  Kampuni ya Landes SportBund Niedersachsen e.v ya nchini  Ujerumani baada ya kumaliza mazungumzo kuhusu maendeleo ya Sekta ya Michezo  hapa nchini yaliyofanyika jana Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...